2 Samweli 8:15-17
15
Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote.
16
Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;
17
Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Seraya alikuwa mwandishi;