Skip to content
2 Samweli 8:15-18

2 Samweli 8:15-18

15
Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote.
16
Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;
17
Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Seraya alikuwa mwandishi;
18
Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa msimamizi wa Wakerethi na Wapelethi; nao wana wa Daudi walikuwa washauri wa mfalme.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options