2 Samweli 20:23-26
23
Yoabu alikuwa jemadari wa jeshi lote la Israeli; Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi;
24
Adoramu alikuwa kiongozi wa wale waliofanya kazi ya kulazimishwa; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;
25
Sheva alikuwa mwandishi; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;
26
na Ira, Myairi, alikuwa kuhani wa Daudi.
Settings