Rukia maudhui
2 Samweli 18:6-8

Vita Katika Msitu wa Efraimu

2 Samweli 18:6-8
6
Jeshi likatoka kwenda kwenye uwanja wa vita kupigana na Israeli, hivyo vita vikapiganwa katika msitu wa Efraimu.
7
Huko jeshi la Israeli likashindwa na watu wa Daudi, siku hiyo majeruhi walikuwa wengi kiasi cha watu ishirini elfu.
8
Vita vikaenea nchi nzima, watu wengi zaidi wakifia msituni siku hiyo kuliko waliouawa kwa upanga.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options