Rukia maudhui
2 Samweli 12:5-6

2 Samweli 12:5-6

5
Daudi akawakwa na hasira dhidi ya mtu huyo tajiri na kumwambia Nathani, “Hakika kama Bwana aishivyo, mtu huyo aliyefanya hivyo anastahili kufa!
6
Lazima alipe mara nne zaidi, kwa ajili ya kondoo huyo, kwa sababu amefanya jambo kama hilo na hakuwa na huruma.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options