Rukia maudhui
2 Samweli 11:14-15

2 Samweli 11:14-15

14
Asubuhi yake Daudi akamwandikia Yoabu barua, akamtuma Uria kuipeleka.
15
Ndani ya barua aliandika, “Mweke Uria mstari wa mbele mahali ambapo mapigano ni makali sana. Kisha wewe uondoke ili Uria aangushwe chini na kuuawa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options