Skip to content
2 Samweli 11:26-27

2 Samweli 11:26-27

26
Mke wa Uria aliposikia kwamba mumewe amekufa, akamwombolezea.
27
Baada ya muda wa maombolezo kwisha, Daudi akamtaka aletwe nyumbani kwake, naye akawa mkewe, na akamzalia mwana. Lakini jambo alilokuwa amefanya Daudi lilimchukiza Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options