Rukia maudhui
2 Wafalme 3:26-27

Mfalme wa Moabu Atoa Mwanawe Kuwa Sadaka

2 Wafalme 3:26-27
26
Mfalme wa Moabu alipoona kuwa vita vimekuwa vikali dhidi yake, akachukua watu 700 wenye panga ili kuingia kwa mfalme wa Edomu, lakini wakashindwa.
27
Ndipo akamchukua mwanawe mzaliwa wake wa kwanza, ambaye angekuwa mfalme baada yake, akamtoa kama dhabihu ya kuteketezwa juu ya ukuta wa mji. Ghadhabu ikawa kubwa dhidi ya Israeli; wakajiondoa kwake na kurudi katika nchi yao wenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options