Rukia maudhui
2 Wafalme 19:36-37

2 Wafalme 19:36-37

36
Basi Senakeribu mfalme wa Ashuru akavunja kambi na kuondoka. Akarudi Ninawi na kukaa huko.
37
Siku moja, alipokuwa akiabudu katika hekalu la mungu wake Nisroki, wanawe Adrameleki na Shareza wakamuua kwa upanga, nao wakakimbilia nchi ya Ararati. Naye Esar-Hadoni mwanawe akawa mfalme badala yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options