Rukia maudhui
2 Wafalme 13:20-21

Kifo na Muujiza wa Baada ya Kifo wa Elisha

2 Wafalme 13:20-21
20
Elisha akafa, nao wakamzika. Vikosi vya Wamoabu vilikuwa vinashambulia nchi kwa vita kila mwaka wakati wa vuli.
21
Ikawa Waisraeli fulani walipokuwa wanamzika mtu, ghafula wakaona kikosi cha washambuliaji, basi wakaitupa ile maiti ya yule mtu ndani ya kaburi la Elisha. Wakati ile maiti ilipogusa mifupa ya Elisha, yule mtu akafufuka na kusimama kwa miguu yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options