Rukia maudhui
2 Yohana 1:1-3

Salamu na Utangulizi

2 Yohana 1:1-3
1
Mzee: Kwa bibi mteule na watoto wake, niwapendao katika kweli, wala si mimi tu, bali na wale wote waijuayo kweli:
2
kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele:
3
Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwanawe Baba, itakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options