Rukia maudhui
2 Wakorintho 1:3-4

2 Wakorintho 1:3-4

3
Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa huruma na Mungu wa faraja yote.
4
Yeye hutufariji katika taabu zetu, ili tuweze kuwafariji walio katika taabu yoyote kwa faraja ambayo sisi wenyewe tumepokea kutoka kwa Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options