Skip to content
2 Wakorintho 1:17-18

2 Wakorintho 1:17-18

17
Nilipopanga jambo hili, je, nilikuwa kigeugeu? Au ninafanya mipango yangu kwa hali ya mwili, ili niseme, “Ndiyo, ndiyo” na “Siyo, siyo” wakati huo huo?
18
Hakika kama Mungu alivyo mwaminifu, maneno yetu kwenu hayajawa “Ndiyo na Siyo.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options