Skip to content
2 Wakorintho 1:23-24

2 Wakorintho 1:23-24

23
Mungu ni shahidi wangu kwamba ilikuwa ni kwa ajili ya kuwahurumia ninyi sikurudi Korintho.
24
Si kwamba tunatawala imani yenu, bali twatenda kazi pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu, kwa sababu ni kwa imani mwasimama imara.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options