Rukia maudhui
2 Wakorintho 1:1-2

Salamu na Utangulizi

2 Wakorintho 1:1-2
1
Barua hii ni kutoka kwangu mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu, Kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, pamoja na watakatifu wote walioko Akaya yote:
2
Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options