דלג לתוכן
2 Nyakati 9:3-4

2 Nyakati 9:3-4

3
Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Solomoni na jumba la kifalme alilokuwa amejenga,
4
chakula kilichokuwa mezani pake, jinsi maafisa wake walivyokaa, wahudumu katika majoho yao, wanyweshaji wake na sadaka za kuteketezwa alizotoa katika Hekalu la Bwana alipatwa na mshangao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options