Skip to content
2 Nyakati 8:1-2

2 Nyakati 8:1-2

1
Miaka ishirini ilipopita, ambayo katika hiyo Solomoni alilijenga Hekalu la Bwana na jumba lake mwenyewe la kifalme,
2
Solomoni akajenga tena vijiji vile ambavyo Hiramu alikuwa amempa, naye akawapa Waisraeli waishi humo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options