Rukia maudhui
2 Nyakati 28:26-27

Kifo na Kuzikwa kwa Ahazi

2 Nyakati 28:26-27
26
Matukio mengine ya utawala wake na njia zake nyingine zote, tangu mwanzo hadi mwisho, zimeandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
27
Ahazi akalala na baba zake na akazikwa katika Mji wa Yerusalemu, lakini hawakumleta kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli. Naye Hezekia mwanawe akawa mfalme baada yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options