Rukia maudhui
2 Nyakati 20:27-28

2 Nyakati 20:27-28

27
Kisha watu wote wa Yuda na Yerusalemu, wakiongozwa na Yehoshafati, wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kwa kuwa Bwana alikuwa amewasababisha wafurahi juu ya adui zao.
28
Wakaingia Yerusalemu na kwenda hekaluni mwa Bwana wakiwa na vinubi, zeze na tarumbeta.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options