Rukia maudhui
2 Nyakati 17:10-11

Mataifa ya kigeni wamheshimu Yehoshafati

2 Nyakati 17:10-11
10
Hofu ya Bwana ikawa juu ya falme zote za nchi zilizozunguka Yuda, hivyo hawakufanya vita na Yehoshafati.
11
Baadhi ya Wafilisti wakamletea Yehoshafati zawadi na fedha kama ushuru, nao Waarabu wakamletea mifugo: kondoo dume 7,700 na mbuzi 7,700.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options