Rukia maudhui
2 Nyakati 17:1-2

Yehoshafati aimarisha utawala wake

2 Nyakati 17:1-2
1
Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake na akajiimarisha dhidi ya Israeli.
2
Akaweka jeshi katika miji yote ya Yuda yenye ngome na kuweka askari walinzi katika Yuda na katika miji ya Efraimu ile ambayo baba yake Asa alikuwa ameiteka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options