Rukia maudhui
1 Timotheo 2:9-10

1 Timotheo 2:9-10

9
Vivyo hivyo nataka wanawake wajipambe kwa adabu na kwa heshima katika mavazi yanayostahili, si kwa kusuka nywele, kuvalia dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa,
10
bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options