1 Wathesalonike 5:2-4
2
kwa kuwa mnajua vyema kwamba siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajapo usiku.
3
Wakati watu wanaposema, “Kuna amani na salama,” maangamizi huwajia ghafula, kama vile utungu umjiavyo mwanamke mwenye mimba; nao hakika hawatatoroka.
4
Bali ninyi, ndugu, hampo gizani hata siku ile iwakute ghafula kama mwizi.
Settings