Skip to content
1 Wathesalonike 4:3-6

1 Wathesalonike 4:3-6

3
Mapenzi ya Mungu ni kwamba ninyi mtakaswe, ili kwamba mjiepushe na zinaa,
4
ili kwamba kila mmoja wenu ajifunze kuutawala mwili wake mwenyewe katika utakatifu na heshima,
5
si kwa tamaa mbaya kama watu wa Mataifa wasiomjua Mungu.
6
Katika jambo hili mtu asimkosee ndugu yake wala kumlaghai. Kwa kuwa Bwana ni mlipiza kisasi katika mambo haya yote, kama vile tulivyokwisha kuwaambia mapema na kuwaonya vikali.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options