Rukia maudhui
1 Wathesalonike 1:2-3

1 Wathesalonike 1:2-3

2
Siku zote tunamshukuru Mungu kwa ajili yenu ninyi nyote, tukiwataja kwenye maombi yetu daima.
3
Tunaikumbuka daima kazi yenu ya imani mbele za Mungu aliye Baba yetu, taabu yenu katika upendo na saburi yenu ya tumaini katika Bwana wetu Yesu Kristo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options