Rukia maudhui
1 Samweli 9:1-2

Utangulizi wa Sauli

1 Samweli 9:1-2
1
Kulikuwako Mbenyamini mmoja, mtu maarufu, ambaye aliitwa Kishi mwana wa Abieli, mwana wa Serori, mwana wa Bekorathi, mwana wa Afia wa Benyamini.
2
Alikuwa na mwana aliyeitwa Sauli, kijana anayevutia sana, hakuwepo aliyelingana naye miongoni mwa Waisraeli, alikuwa mrefu kuliko wengine wote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options