Rukia maudhui
1 Samweli 31:11-13

Maziko ya Watu wa Yabeshi-Gileadi

1 Samweli 31:11-13
11
Watu wa Yabeshi-Gileadi waliposikia yale Wafilisti walichomfanyia Sauli,
12
mashujaa wao wote wakaenda usiku hadi Beth-Shani. Wakauchukua mwili wa Sauli na miili ya wanawe kutoka kwenye ukuta wa Beth-Shani na kurudi hadi Yabeshi, mahali ambapo waliiteketeza kwa moto.
13
Kisha wakachukua mifupa yao na kuizika chini ya mti wa mkwaju huko Yabeshi, nao wakafunga siku saba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options