Skip to content
1 Samweli 31:1-2

1 Samweli 31:1-2

1
Basi Wafilisti wakapigana na Israeli. Waisraeli wakawakimbia, na wengi wakauawa katika Mlima Gilboa.
2
Wafilisti wakawafuatia kwa bidii Sauli na wanawe, wakawaua Yonathani, Abinadabu na Malki-Shua.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options