Skip to content
1 Samweli 30:26-31

1 Samweli 30:26-31

26
Daudi alipofika Siklagi, akatuma baadhi ya nyara kwa wazee wa Yuda, waliokuwa rafiki zake, akasema, “Tazama, hapa kuna zawadi kwa ajili yenu kutoka nyara za adui za Bwana.”
27
Akazituma kwa wale waliokuwa Betheli, Ramoth-Negebu na Yatiri;
28
kwa wale walioko Aroeri, Sifmothi, Eshtemoa
29
na Rakali; kwa wale waliokuwa katika miji ya Wayerameeli na ya Wakeni;
30
na kwa wale walioko Horma, Bori-Ashani, Athaki,
31
na kwa wakazi wa Hebroni; na kwa wale waliokuwa mahali pengine pote ambako Daudi na watu wake walitembelea.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options