1 Samweli 1:12-14
12
Alipokuwa anaendelea kumwomba Bwana, Eli alichunguza kinywa chake.
13
Hana alikuwa akiomba moyoni mwake, midomo yake ikiwa inachezacheza lakini sauti haikusikika. Eli akafikiri alikuwa amelewa
14
naye akamwambia, “Utaendelea kulewa mpaka lini? Achilia mbali mvinyo wako.”