Rukia maudhui
1 Petro 4:7-10

1 Petro 4:7-10

7
Mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo kuweni na akili tulivu na kiasi, mkikesha katika kuomba.
8
Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi.
9
Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manungʼuniko.
10
Kila mmoja na atumie kipawa chochote alichopewa kuwahudumia wengine, kama mawakili waaminifu wa neema mbalimbali za Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options