Rukia maudhui
1 Petro 2:1-3

Kuacha Dhambi na Kutamani Neno

1 Petro 2:1-3
1
Kwa hiyo, wekeni mbali nanyi uovu wote na udanganyifu wote, unafiki, wivu na masingizio ya kila namna.
2
Kama watoto wachanga, waliozaliwa sasa, yatamanini maziwa ya kiroho yasiyochanganywa na kitu kingine chochote, ili kwa hayo mpate kukua katika wokovu,
3
ikiwa kweli mmeonja ya kwamba Bwana ni mwema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options