דלג לתוכן
1 Wafalme 6:12-13

1 Wafalme 6:12-13

12
“Kwa habari ya Hekalu hili unalojenga, kama ukifuata amri zangu, ukatunza masharti yangu na kushika maagizo yangu yote na kuyatii, kwa kupitia wewe nitatimiza ahadi niliyomwahidi Daudi baba yako.
13
Nami nitakaa miongoni mwa Waisraeli, nami sitawaacha watu wangu Israeli.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options