1 Wafalme 6:11-14
11
Neno la Bwana likamjia Solomoni kusema:
12
“Kwa habari ya Hekalu hili unalojenga, kama ukifuata amri zangu, ukatunza masharti yangu na kushika maagizo yangu yote na kuyatii, kwa kupitia wewe nitatimiza ahadi niliyomwahidi Daudi baba yako.
13
Nami nitakaa miongoni mwa Waisraeli, nami sitawaacha watu wangu Israeli.”
14
Basi Solomoni akajenga Hekalu na kulikamilisha.
Settings