1 Wafalme 13:18-19
18
Yule nabii mzee akajibu, “Mimi pia ni nabii, kama wewe. Naye malaika alisema nami kwa neno la Bwana: ‘Mrudishe aje katika nyumba yako ili apate kula mkate na kunywa maji.’ ” (Lakini alikuwa akimwambia uongo.)
19
Hivyo mtu wa Mungu akarudi pamoja naye na akala na kunywa katika nyumba yake.