Skip to content
1 Wafalme 13:18-19

1 Wafalme 13:18-19

18
Yule nabii mzee akajibu, “Mimi pia ni nabii, kama wewe. Naye malaika alisema nami kwa neno la Bwana: ‘Mrudishe aje katika nyumba yako ili apate kula mkate na kunywa maji.’ ” (Lakini alikuwa akimwambia uongo.)
19
Hivyo mtu wa Mungu akarudi pamoja naye na akala na kunywa katika nyumba yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options