Rukia maudhui
1 Wafalme 11:41-43

Kifo cha Sulemani

1 Wafalme 11:41-43
41
Kwa habari za matukio mengine ya utawala wa Solomoni, yote aliyoyafanya na hekima aliyoionyesha, je hayakuandikwa yote katika kitabu cha matendo cha Solomoni?
42
Solomoni alitawala Israeli yote miaka arobaini, akiwa Yerusalemu.
43
Kisha Solomoni akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa katika mji wa Daudi baba yake. Naye Rehoboamu mwanawe akawa mfalme baada yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options