Rukia maudhui
1 Wakorintho 6:19-20

1 Wakorintho 6:19-20

19
Je, hamjui ya kwamba miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu akaaye ndani yenu, ambaye mmepewa na Mungu? Ninyi si mali yenu wenyewe,
20
kwa maana mmenunuliwa kwa gharama. Kwa hiyo mtukuzeni Mungu katika miili yenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options