Skip to content
1 Wakorintho 4:11-13

1 Wakorintho 4:11-13

11
Mpaka saa hii tuna njaa na kiu, tu uchi, tumepigwa na hatuna makao.
12
Tunafanya kazi kwa bidii kwa mikono yetu wenyewe. Tunapolaaniwa, tunabariki, tunapoteswa, tunastahimili,
13
tunaposingiziwa, tunajibu kwa upole. Mpaka sasa tumekuwa kama takataka ya dunia na uchafu wa ulimwengu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options