Rukia maudhui
1 Wakorintho 12:14-17

1 Wakorintho 12:14-17

14
Basi mwili si kiungo kimoja, bali ni viungo vingi.
15
Kama mguu ungesema, “Kwa kuwa mimi si mkono basi mimi si wa mwili,” hiyo isingefanya huo mguu usiwe sehemu ya mwili.
16
Na kama sikio lingesema, “Kwa kuwa mimi si jicho, basi mimi si wa mwili,” hiyo isingefanya hilo sikio lisiwe sehemu ya mwili.
17
Kama mwili wote ungelikuwa jicho, kusikia kungekuwa wapi? Au kama mwili wote ungelikuwa sikio, kunusa kungekuwa wapi?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options