Rukia maudhui
1 Nyakati 9:33-34

Waimbaji na wanamuziki wa hekaluni

1 Nyakati 9:33-34
33
Wale waliokuwa waimbaji, viongozi wa jamaa za Walawi, waliishi katika vyumba vya Hekalu, nao hawakufanya shughuli nyingine yoyote kwa sababu iliwapasa kuwajibika kwa kazi hiyo usiku na mchana.
34
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa za Walawi, wakuu kama walivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options