1 Nyakati 6:9-15
9
Ahimaasi akamzaa Azaria, Azaria akamzaa Yohanani,
10
Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),
11
Azaria akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
12
Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Shalumu,
13
Shalumu akamzaa Hilkia, Hilkia akamzaa Azaria,
14
Azaria akamzaa Seraya, Seraya akamzaa Yehosadaki.
15
Yehosadaki alihamishwa wakati Bwana aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.
Settings