Skip to content
1 Nyakati 6:71-76

1 Nyakati 6:71-76

71
Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho: Katika nusu ya kabila la Manase: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.
72
Kutoka kabila la Isakari walipokea Kedeshi, Daberathi,
73
Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
74
Kutoka kabila la Asheri walipokea Mashali, Abdoni,
75
Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
76
Kutoka kabila la Naftali walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options