Skip to content
1 Nyakati 6:54-55

1 Nyakati 6:54-55

54
Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
55
Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options