1 Nyakati 6:54-55
54
Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
55
Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.