Skip to content
1 Nyakati 2:46-47

1 Nyakati 2:46-47

46
Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi.
47
Wana wa Yadai walikuwa: Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa na Shaafu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options