Rukia maudhui
1 Nyakati 17:1-2

Daudi atamani kulijenga hekalu

1 Nyakati 17:1-2
1
Baada ya Daudi kuingia rasmi katika jumba lake la kifalme, akamwambia nabii Nathani, “Hebu tazama, mimi ninakaa kwenye nyumba nzuri iliyojengwa kwa mierezi, wakati Sanduku la Agano la Bwana liko ndani ya hema.”
2
Nathani akamjibu Daudi, “Lolote ulilo nalo moyoni mwako litende, kwa maana Mungu yu pamoja nawe.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options