1 Nyakati 1:1-23
1
Adamu, Sethi, Enoshi,
2
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15
Wahivi, Waariki, Wasini,
16
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22
Obali, Abimaeli, Sheba,
23
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Settings