Mistari ya Biblia kuhusu Zaphnath-Paaneah: A name given to Joseph by Pharaoh.
Mistari kuhusu A name given to Joseph by Pharaoh.
Farao akamwita Yosefu Safenath-Panea, pia akampa Asenathi binti Potifera, kuhani wa mji wa Oni, kuwa mke wake. Ndipo Yosefu akaitembelea nchi yote ya Misri.