Mistari ya Biblia kuhusu Zabbai
Mistari muhimu ya Biblia
Kutoka uzao wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.
Baada yake, Baruku mwana wa Zakai alikarabati kwa bidii sehemu nyingine kuanzia ile pembe, mpaka kwenye lango la nyumba ya Eliashibu kuhani mkuu.