Mistari ya Biblia kuhusu Urijah: 3. A priest, called Uriah, assistant to Ezra
Mistari kuhusu 3. A priest, called Uriah, assistant to Ezra
Mwandishi Ezra alikuwa amesimama juu ya jukwaa la miti lililojengwa kwa kusudi hilo. Karibu naye upande wa kuume alisimama Matithia, Shema, Anaya, Uria, Hilkia na Maaseya. Upande wake wa kushoto walikuwepo Pedaya, Mishaeli, Malkiya, Hashumu, Hashbadani, Zekaria na Meshulamu.