Mistari ya Biblia kuhusu Towel
Mistari muhimu ya Biblia
hivyo aliondoka chakulani, akavua vazi lake la nje, akajifunga kitambaa kiunoni.
Kisha akamimina maji kwenye sinia na kuanza kuwanawisha wanafunzi wake miguu na kuikausha kwa kile kitambaa alichokuwa amejifunga kiunoni.